top of page

VICOBA GROUPS PAGE

UANACHAMA

JINSI YA KUWA MWANACHAMA:

Fursa ya kuwa mwanachama wa KIVINET iko wazi kwa kikundi chochote cha VICOBA kilichopo ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro. Mwanachama atatakiwa ku-jaza fomu maalum na kiingilio na ada ya uanachama ya mwaka. Uanachama unatolewa kwa kikundi na siyo kwa mtu mmoja mmoja. Kiingilio na ada hupangwana BODI ya KIVINET.

FOMU YA UWANACHAMA

FOMU ZA KIINGILIO

FOMU YA ORODHA YA WARITH

KIVULI CHA KATIBA

TAARIFA YA UTAWALA

TAMKO LA KUACHA UANACHAMA

TAMKO LA UONGOZI

SAMPULI YA VITABU

Visit

Room # 108

CCM Building in Moshi

Call

T: +255 755 650 770

C: +255 2755186

© 2017 by

KIVINET (Designed and created by Wladyslaw Tylka)

  • Facebook Social Icon
  • Instagram Social Icon
bottom of page